Michael Jackson afariki dunia
Uongozi wa Kiluvya Pub unaungana na watanzania wote na watu wote duniani kuombeleza msiba mkubwa uliyoipata familia ya Jackson. Vyombo vya habari vya CNN na SKY pamoja na BBC, vimethibitisha kuwa Michael amefariki dunia usiku wa kuamkia leo tarehe 26 huko Marekani. Michael amefariki akiwa na miaka 50, amefariki kabla hata wahudumu wa hospitali (Paramedics) hawajafika, amefariki na heart attack, ameacha watoto watatu Michael Joseph Jackson, Jr, Paris Michael Catherine Jackson na Prince "Blanket" Micha.