Sportsmanship Fail (she is really going in)

share
0

Recent videos from thegiftedlife

131 videos see all

what people are saying

Huyu mdada Elizabeth Lambert alikuwa akiichezea soka timu yake ya Chuo Kikuu cha New Mexico lakini kwa sasa amesimamishwa pasipo muda maalumu kuichezea timu hiyo kutokana na visa vyake vya kupiga na kukwatua kwa makusudi ya kuwaumiza wachezaji wa timu pinzani. Amekuwa akifanya hivi kwa muda na akawa anaachiwa ama kupewa onyo la kadi ya njano tu, hata kumkwatua mtu kwa nyuma au kumpiga ngumi anaishia kupewa tu kadi ya njano badala ya nyekundu na pengine faini na onyo kali. Baadhi ya video hizi inaonesha kuwa wakati mwingine amefanya vitendo hivi kama kinga binafsi pale anapoguswa ama kubughudhiwa, kwenye video hiyo hapo chini utaona dada mmoja akimpiga kipepsi cha tumbo na mwingine akiikamata bukta yake, yeye majibu yake ni kuwakwida. Ukomo wa haya yote umefika baada ya video kupostiwa katika mtandao jamii wa video, YouTube, juu ya tukio la Elizabeth kumfanyia vitimbi mchezaji wa timu ya Chuo Kikuu cha Bringham Young. Hati posti hii inawekwa hewani, video hiyo imeshapata utazamaji mara 3,321,459. Isingekuwa ni video hiyo kuwekwa hadharani, mdada huyu angeendelea tu kutesa kiwanjani kama ambavyo alikuwa akitesa kabla ya hapo. Tizama video hapo chini toka youtube.com/yMao8hDtnxk
Nov
20
Geez… take it easy lady…
Nov
10

add a comment

2000 characters left.
First collected by thegiftedlife
Nov 10, 2009
from youtube.com
join Your favorite videos on the web, in one place. Start your collection now.

related videos

tags

collected by 2 people

details

63 views

original description

Geez… take it easy lady…
Flag this Video as inappropriate or broken